WAZIRI WA AFYA, UMMY MWALIMU ATOA HUNDI KWA WAJASIRIAMALI WALIONUFAIKA NA BENKI YA DCB.
Waziri wa Afya, Maendeleo Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akimkabidhi hundi ya sh.milioni tano, Dereva wa Bodaboda, Sikudhani Daudi zilizotolewa na Benki ya DCB ikiwa na lengo ya kukuza biashara katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani Mkoa wa Dar es Salaam yaliyofanyika katika viwanja vya Biafra jijini Dar es Salaam.
Wanawake wakiwa wameketi
wakimsikiliza Waziri wa Afya,Maendeleo Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Ummy
Mwalimu (hayupo pichani) katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani Mkoa wa
Dar es Salaam yaliyofanyika katika viwanja vya Biafra jijini Dar es Salaam.
Wanawake katika vikundi vilivyopata mkopo katoka kwa benki ya DCB wakiwa katika picha ya pamoja na hundi zao leo katika siku ya maadhimisho ya siku ya wanawake Mkoa wa Dar es Salaam yaliyofanyika katika viwanja Biafra leo.
Wanawake wa Mamlaka wa Chakula na Dawa (TFDA) wakiwa na bango katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani Mkoa wa Dar es Salaam yaliyofanyika katika viwanja vya Biafra jijini Dar es Salaam.